welcome to the chedy-website
UNA MBAVU?<CHEKA BASI!>

Home

CHATTING ROOM
Daily Cartoons
Life Background
UNA MBAVU?<CHEKA BASI!>
My country<Tanzania>
Favorite Links
MY PHOTOS

RANDOM JOKES

Visit my photos Album
Rotating
For any Question toll 0744 443552

USA UNIVERSITIES

ONA MAMBO YA MAKONDA HAYO:
 
Ninasema kazi ya kupiga debe ni ngumu na ili kuifanya bila kuchemsha inawabidi wale msuba, wavute sigara za kawaida na wakati mwingine kunywa gongo.
Vilevi vya aina hiyo vinasaidia kuwaletea stimu ambayo inawapa uvumilivu wa aina yake kuweza kukabiliana na mikikimikiki ya kuita na kugombea abiria.
Chamba anasema ugomvi na abiria, makondakta wa mabasi au wapiga debe wenyewe kwa wenyewe ni jambo la kawaida na ili kuyakabili mambo kama hayo inabidi mtu uwe tofauti kidogo katika kichwa chako.
"Tukishakula ganja tunakuwa na ile kujiamini. Mtu unaweza kukoromeana hata na mtu unayemjua. Mara nyingi wanaotuliza maugomvi hayo ni wapiga debe ambao hawatumii ganja wala pombe,"

=

=

=

ãchediel msuya under prima tech co.